Collateral ndogo inahitajika wapi, kama unataka mkopo wa biashara wa KES 50,000?

📁 Mikopo 1 saa zilizopita 💬 2 majibu
Kadiria swali hili:
3 / 5  (1 tathmini)
KES 200,000
Tuma ombi

2 majibu

Sarah Wambui
Sarah Wambui 1 12 55 dak. zilizopita
Kampuni za mikopo kama Branch na Tala hazihitaji collateral kwa kiasi hicho, zinategemea historia ya simu na miamala. Benki kama KCB na Equity pia zina bidhaa za KCB M-Pesa na Equity Loan ambazo hazihitaji dhamana kubwa, bali rekodi nzuri ya miamala ya M-Pesa au akaunti.
8
Martin Mutiso
Martin Mutiso 1 8 sasa hivi
SACCO zinaweza kutoa mkopo huo kwa kutumia akiba yako kama dhamana. Kwa mfano, nimewahi kukopa shilingi 50,000 kutoka kwa chama changu cha ushirika nikiwa na akiba ya asilimia 20 tu.

Jibu

0 / 3000