Processing fee ikikatwa kabla ya pesa kuingia, unahesabu vipi gharama halisi?
Kadiria swali hili:
4 / 5 (1 tathmini)
1 majibu
William Ouma
●
1
●
5
54 dak. zilizopita
Kwa mfano, ukikopa 10,000 na processing fee 500 ikatwa moja kwa moja, unapokea 9,500 tu. Gharama halisi si 500 kwa 10,000 bali ni 500 kwa 9,500 - hiyo ni 5.26% si 5%. Ukiona hivyo, unajua kwamba riba inakaa juu kidogo kuliko ilivyotangazwa, ndio maana wengi wanashangaa wanapolipa zaidi.
8
Maswali Yanayofanana
- Tofauti ya mkopo wa simu na salary advance ni nini kwa makato ya mshahara?
- Offer ya mkopo ikiwa chini ya kiasi ulichoomba, unakadiriaje kama inatosha?
- Chama kidogo kikikopa kwa SACCO, marejesho yanaweza kupangwa kwa michango ya kila mwezi?
- Due date ya mkopo inapokaribia, kulipa sehemu kunazuia fee ya kuchelewa?
- Mbona Fuliza humeza pesa yote ya M-Pesa, hata kama ulitaka kutoa sehemu tu?