Susan Akinyi
0 maswali
1 majibu
Majibu yaliyotolewa
Wapi utakagua gharama zote za mkopo, kabla ya kukubali pesa iingie M-Pesa?
Angalia sehemu ya "Terms and Conditions" au "Mkataba wa Mkopo" kabla ya kubofya kukubali. Benki na mikopo ya simu kama Tala au Branch huweka gharama zote kwenye skrini ya mwisho kabla ya kutuma pesa.