Thomas Koskei
Thomas Koskei anauliza:

Mkopaji mwenye mikopo miwili alipie upi kwanza, kama due dates zinakaribiana?

πŸ“ Mikopo 1 saa zilizopita πŸ’¬ 1 majibu
Kadiria swali hili:
β˜… β˜… β˜… β˜… β˜…
3 / 5  (1 tathmini)
β˜…β˜…β˜…β˜…β˜…
KES 200,000
Tuma ombi

1 majibu

Rose Chepkorir
Rose Chepkorir ● 2 ● 6 1 saa zilizopita
Hesabu za kwanza ni kiasi cha riba na ada za kuchelewa. Kama mkopo wa kwanza una riba kubwa au penalty kali zaidi, lipa huo kwanza ili usizidiwe na madeni.
7

Jibu

0 / 3000