Gilbert Koech
Gilbert Koech anauliza:

Chama kikitumia M-Pesa ya treasurer, mkopo wa app utaangalia jina gani?

📁 Mikopo 1 saa zilizopita 💬 1 majibu
Kadiria swali hili:
3 / 5  (1 tathmini)
KES 200,000
Tuma ombi

1 majibu

Patrick Tanui
Patrick Tanui 1 7 1 saa zilizopita
Kikundi kinachotumia nambari ya M-Pesa ya treasurer, mkopo wa app utaangalia jina la mtu anayemiliki simu hiyo. Hii inamaanisha treasurer ndiye anayeonekana kama akopaye kwenye mfumo, si chama.
8

Jibu

0 / 3000